1 Chronicles 17:16

Maombi Ya Daudi

(2 Samweli 7:18-29)

16 aNdipo Mfalme Daudi akaingia ndani, akaketi mbele za Bwana, akasema:

“Mimi ni nani, Ee Bwana Mungu, na jamaa yangu ni nini, hata umenileta mpaka hapa nilipo?
Copyright information for SwhNEN